‏ Psalms 80:8-11


8 aUlileta mzabibu kutoka Misri,
ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9Uliandaa shamba kwa ajili yake,
mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,
matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
11 bMatawi yake yalienea mpaka Baharini,
Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.

machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Yaani Mto Frati.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.