‏ Ecclesiastes 5:12-14


12 aUsingizi wa kibarua ni mtamu,
awe amekula kidogo au kingi,
lakini wingi wa mali
humnyima tajiri usingizi.
13 bNimeshaona uovu mzito chini ya jua:

Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima
na kuleta madhara kwa mwenye mali,
14au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya,
hivyo kwamba wakati akiwa na mwana
hakuna chochote kilichobaki kwa ajili yake.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.