Psalms 88:1
Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
(Wimbo. Zaburi Ya Wana Wa Kora. Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Mahalathi Leanothi. Utenzi Wa Hemani Mwezrahi)
1 aEe Bwana, Mungu uniokoaye,
nimelia mbele zako usiku na mchana.
Copyright information for
SwhKC