‏ Mark 16:18

18 awatashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”

Isa Apaa Kwenda Mbinguni

(Luka 24:50-53; Matendo 1:9-11)

Copyright information for SwhKC