Mark 12:12
12 aWalipotambua kuwa amesema mfano huo kwa ajili yao, wakataka kumkamata, lakini wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha, wakaondoka, wakaenda zao.Swali Kuhusu Kulipa Kodi
(Mathayo 22:15-22; Luka 20:20-26)
Copyright information for
SwhKC