‏ Jeremiah 31:29-30

29 a“Katika siku hizo, watu hawatasema tena, “ ‘Baba wamekula zabibu chachu,
nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’

30 bBadala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.
Copyright information for SwhKC