Deuteronomy 4:10
10 aKumbuka siku uliyosimama mbele za Bwana Mwenyezi Mungu wako kule Horebu, wakati aliponiambia, “Wakutanishe watu mbele yangu wasikie maneno yangu ili kwamba waweze kujifunza kuniheshimu kwa muda wote watakaoishi katika nchi, nao waweze kuwafundisha watoto wao maneno hayo.”
Copyright information for
SwhKC